Sitisha mapigano SASA!
Hakuna Maelezo
Tunatoa wito kwa Marekani na mataifa ya Umoja wa Ulaya kuacha kusambaza silaha kwa pande zote kwenye mzozo wa Israel na maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu. Haya yanaweza kusababisha ukiukaji wa sheria za kimataifa za kibinadamu na ukiukaji wa haki za binadamu.
Mataifa yote yana wajibu wa kuzuia ukatili na kuhakikisha ulinzi wa raia.
Imechelewa sana kwa jumuiya ya kimataifa kutimiza wajibu huu!
chanzo